Ijumaa, 12 Septemba 2014

KILICHOSEMWA NA MAHAKAMA HAPO JANA JUU YA KESI YA OSCAR HUKO AFRICA KUSINI


Screen Shot 2014-09-11 at 2.13.03 PMOscar Pistorius ni mwanariadha wa Afrika Kusini ambae amekua kwenye headlines kutokana na ishu yake ya kutuhumiwa kumuua mpenzi wake kwa risasi Valentine’s day mwaka jana.
Taarifa mpya za Mahakama leo zinasema Jaji ametoa maamuzi kwenye shitaka la kwamba alifanya mauaji ya kukusudia kwamba upande wa mashtaka umeshindwa kuthibitisha kuwa aliua kwa makusudi.
Kwenye kesi hii Pistorius alikiri kumuua mpenzi wake lakini ni kwa bahati mbaya na sio makusudi ambapo Mwandishi wa BBC ameripoti kwamba huenda Jaji akachukua mpaka Ijumaa kukamilisha maamuzi yake.
Ikitokea Pistorius akapatikana na hatia ya kumuua mpenzi wake basi anaweza kufungwa jela miaka 25.
Endelea kusoma na kupata habari za uhakika na pia karibu sana kwenye blog yangu hii.
Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Kumbukumbu la Blogu

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text