
Taarifa mpya za Mahakama leo zinasema Jaji ametoa maamuzi kwenye shitaka la kwamba alifanya mauaji ya kukusudia kwamba upande wa mashtaka umeshindwa kuthibitisha kuwa aliua kwa makusudi.
Kwenye kesi hii Pistorius alikiri kumuua mpenzi wake lakini ni kwa bahati mbaya na sio makusudi ambapo Mwandishi wa BBC ameripoti kwamba huenda Jaji akachukua mpaka Ijumaa kukamilisha maamuzi yake.
Ikitokea Pistorius akapatikana na hatia ya kumuua mpenzi wake basi anaweza kufungwa jela miaka 25.
Endelea kusoma na kupata habari za uhakika na pia karibu sana kwenye blog yangu hii.
0 maoni:
Chapisha Maoni