
Asubuhi ya leo September 08 kabla wasanii kuanza safari ya kurudi Dar walitiza ahadi yao kwa ndugu na jamaa pamoja ma majuruhi wa ajali kwa kuwatembelea katika hospitali ya mkoa wa mara walipolazwa majuruhi hao na kugawana nao kidogo walichokipata kupitia show yao ya Serengeti Fiesta 2014 iliyofanyika jana,
Jumla kuu ya thamani ya msaada huo ni Milioni 3.
KWA KUSHIRIKIANA NA millardayo.com tutakujuza kwa kina habari mbali mbali za hapa nchini kwetu na nje ya nchi hii........usisahau kulike page yetu ya facebook:https://www.facebook.com/pages/Samerickblogspotcom/1434548133478041?ref=bookmarks na kujipatia habari nyingi na zenye uhakika.
0 maoni:
Chapisha Maoni