Jumatatu, 1 Septemba 2014

ARSENAL NA MAN U HAWACHEKANI NA HAYA NDO MATOKEO...


Leicester City v Arsenal - Premier LeagueBaada ya kufanikiwa kuingia kwenye makundi ya ligi ya mabingwa wa ulaya Jumatano iliyopita, klabu ya Arsenal leo ilijitupa uwanjani kupambana na Leicester City katika mfululizo wa ligi kuu ya England.
1409504318325_wps_93_Arsenal_s_Chilean_strikerMchezo huo umeisha kwa sare ya 1-1.
Alexis Sanchez alitangulia kuifungia Arsenal dakika ya 20, kabla ya Leonardo Ulloa kuisawazishia Leicester dakika mbili baadaye.
Ulloa na Jamie Vardy walipoteza nafasi nzuri za kuifungia Leicester kwenye mchezo huo, wakati upande wa Arsenal napo, Aaron Ramsey na Yaya Sanogo nao walikosa ya mabao ya wazi.
Leicester City nao walikosa magoli mengi ambayo yangewawezesha kupata ushindi dhidi ya vijana wa Arsenal Wenger.

Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Kumbukumbu la Blogu

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text