Alhamisi, 4 Septemba 2014

PICHA,JUMBA LA BIG BROTHER LAUNGUA MOTO HUKO SOUTH AFRICA..


M-Net na kampuni ya production ya Endemol wamethibitisha kuungua kwa moto jumba la mashindano ya Big Brother Huko South na kutoa taarifa kuwa mashindano haya yamehairishwa mpaka itakapotolewa taarifa zaidi.
Hakuna mtu aliyumia wala kupoteza maisha na mpaka sasa haijajulikana chanzo cha moto ni nini. M-Net na Endemol wameshaanza kutafuta jumba la kufanyia show ya mwaka huu na kutafuta vifaa vipya baada ya camera na editing instruments kuungua moto.
bba 1bba 2bba 4bbabba 7

Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Kumbukumbu la Blogu

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text